Rose Muhando alikuwa gumzo mjini Iringa kwa uimbaji wake. Mkoa wa Iringa ulifurahishwa na huduma ya mwimbaji huyu. Watu walifurika uwanjani mapema kuangalia kitimutimu cha waimbaji wa nyimbo za injili akiwemo Malkia wa Muziki wa Injili Tanzania Rose Muhando.

Rose Muhando

rose mhando na jeshi lake akiwasalimia wana iringa kabla ya kuanza kazi

kazi imeanza vilipigwa viduku vya yesu vya maana

SOLOMONI MKUBWA AKIFANYA AKIMWIMBIA MUNGU

Solomon mukubwa kutoka nchni kenya akiwajibika jukwaani katika uwanja wa samora mkoani iringa


umati mkubwa wa wapenzi wa mziki wa injili wakishuhudia waimbaji hao



kila aliyekua na kitambaa ama kushika kitu chochote mkononi alitakiwa kukinyanyua juu
cloud ya wapenzi wa mziki wa bwana

waimbaji mbalimbali walihudhuria tamasha hilo mbali ya rse mhando na solomon mukubwa pia alikuwepo bonny mwaitege, upendo nkono na wengine wengi wa mikoa ya nyanda za juu kusini.
Rose Muhando
rose mhando na jeshi lake akiwasalimia wana iringa kabla ya kuanza kazi
kazi imeanza vilipigwa viduku vya yesu vya maana
SOLOMONI MKUBWA AKIFANYA AKIMWIMBIA MUNGU
Solomon mukubwa kutoka nchni kenya akiwajibika jukwaani katika uwanja wa samora mkoani iringa
kila aliyekua na kitambaa ama kushika kitu chochote mkononi alitakiwa kukinyanyua juu
waimbaji mbalimbali walihudhuria tamasha hilo mbali ya rse mhando na solomon mukubwa pia alikuwepo bonny mwaitege, upendo nkono na wengine wengi wa mikoa ya nyanda za juu kusini.