Rose kama ilivyo kawaida yake anapokuwa katika jukwaa, huwa haaichi watu wa Mungu wakiboreka. Rose Muhando siku hii aliwashangaza watu kwa uimbaji wake na kucheza kwake. Rose Muhando kila umuonapo ni mtu wa kutabasamu na kucheka hata anapokuwa jukwani au madhabahuni. Ngoja nikupe kiduchu cha Dodoma

Maliki Rose Muhando.

Vijana wa Dar a.k.a wazee wa mwendo Glorious worship team.

Sauti ya Asali Upendo Kilahiro

Anastazia mkabwa kutoka Kenya.


Dada yangu wa karibu Upendo Nkone akifanya kweli

Boni Mwaitege na "mama ni mama"

Solomoni Mkubwa

Mkurugenzi wa Tamasha la Msama Promotions Ltd Bwana Alex Msama akisalimiana na mgeni rasmi wa tamasha hilo,naibu spika wa bunge Mh.Job Ndugai.


Maliki Rose Muhando.

Vijana wa Dar a.k.a wazee wa mwendo Glorious worship team.

Sauti ya Asali Upendo Kilahiro

Anastazia mkabwa kutoka Kenya.


Dada yangu wa karibu Upendo Nkone akifanya kweli

Boni Mwaitege na "mama ni mama"

Solomoni Mkubwa

Mkurugenzi wa Tamasha la Msama Promotions Ltd Bwana Alex Msama akisalimiana na mgeni rasmi wa tamasha hilo,naibu spika wa bunge Mh.Job Ndugai.

No comments:
Post a Comment