ROSE MUHANDO HR BANNER

ROSE MUHANDO HR BANNER

ROSE MUHANDO SONG OF THE WEEK

Saturday, September 12, 2015

ASKOFU MH. DK. GERTRUDE RWAKATARE AMUUNGA MKONO MGOMBEA UDIWANI KATA YA KAWE Mh. MUTTA ROBERT RWAKATARE SIKU YA JUMAMOSI


Mgombe Udiwani Kata ya Kawe jijini Dar es Salaam, Mh. Mutta Robert Rwakatare siku ya leo Jumamosi 12.09.2015 katika viwanja vya Tanganyika Pikers Dar es Salaam aliweza kufungua rasmi kampeni za ugombea Udiwani kwa kupitia Chama Cha Mapinduzi kata ya Kawe wilaya ya Kinondoni jijini Dar es Salaam


Kutoka kulia ni Mh. Askofu Dk. Gertrude Rwakatare akiwa na mgombea udiwani Kata ya Kawe Bw. Mutta Robert Rwakatare akiwa amemsika mke wake wakielekea katika viwanja vya Tanganyika Pikers Kawe

Katika kampeni hizi kulikuwa na viongozi mbalimbali kutoka kata mbalimbali waliokuja kumuunga mkono Mh. Mutta Robert Rwakatare. Na hii inatokana na ushirikiano wake mzuri na viongozi walioko madarakani akiwa kama Raoisi wa Mchezo wa ngumi Tanzania.

Mgombe Ubunge Kappi Warioba aliweza kufika katika ufunguzi huu wa kampeni akiwa na Mh. Dk. Gertrude Rwakatare ambaye ni mama mzani wa Mutta Robert Rwakatare. Waheshimiwa hawa waliwaomba wananchi kumchangua Mh. Mutta Gertrude Rwakatare kutokana na utendaji wake mzuri katika ujenzi wa Taifa.

Watu wengi waliweza kujitokeza kumuunga mkono Mh. Mutta R. Rwakatare, na hii ni kutokana na kupendwa na wakazi wa Kata ya Kawe.

Mh. Mutta Gertrude Rwakatare aliweza kuomba wakazi wa Kawe kumpigia kura ili akiingia madarakani aweza kuondooa kero za wakazi wa Kawe kama vile Uhaba wa maji, kulikarabati daraja la Kawe, kuboresha elimu, kuinua michezo na burudani kwa wasanii wa muziki nchini, kuikarabati barabara za Kawe, kutetea haki za hati miliki na mengine mengi

Unaweza kutembelea
www.rumaafrica.blogspot.com kujua mengi kuhusu harakati za Udiwani Kata ya Kawe






Askofu Dk. Gertrude Rwakatare

 Mgombea Ubunge Mh. Kippi Warioba aliyevalia shati la yello akielekea jukwaani
 Mzee Makasii akiimba

BONYEZA "READ MORE" HAPO CHINI KUONA MATUKIO YOTE YA KAMPENI










 







1 comment:

  1. i want to share my testimony of how i become rich and famous today… i was deeply strangled up by poverty and i had no body to help me, and also i search for help from different corners but to no avail… i see people around me getting rich but to me i was so ashamed of my self so i met a man on my way he was very rich and he was a doctor so he told me something and i think over it though out the day so the next day i looked up and i keep repeating what he said to me. ” if you want to get rich quick and be famous” you need to cross your heart and do what is in your mind so i tried all i could in other for me to do as he said so later on i told my fellow friend about this same thing then my friend was interested in my suggestions so i decided to look in the internet and i found their number so we decided to contact them and unfortunately we did as they instruct us to do and later they told us to get some requirements and all the rest… so this initiation took us just a week and later on the great fraternity gave us $1,200,000 to start up our lives…. and now am testifying that if in any case you want to join any great fraternity all you need to do is for you to contact them because they are legitimate and they do as what they instructed them to do, so you can as well WhatsApp me +2348106618681 or for more information +1(705)8062021 you can Email: illuminatipowerful666@gmail.com...

    ReplyDelete

HABARI ZILIZOPITA

Related Posts Plugin for WordPress, Blogger...